Klabu kubwa za Simba na Yanga ndizo ambazo zingekuwa chemchem ya soka letu Tanzania, bahati mbaya wanachama na wapenzi wa timu hizi waliwaachia wafanyabiashara wa kihindi kufanya biashara na kufaidika na timu hizi kwa mgongo wa ufadhili.
Wafanyabiashara hawa walijali faida badala ya maendeleo ya soka. Walicheza kamali na matokeo ya mechi za Simba na Yanga hivyo walifanya kila kitu na kila mbinu ili kulazimisha matokeo uwanjani kitu kilichodumu hata leo.
Wanachama na mashabiki hawalipi hata michango yao wakitegemea mhindi kuendesha club yao. Akina mzee Akilimali na wenzake hadi leo huwaambii kitu kuhusu timu kujitegemea, wanatafuta mfadhiri wa kihindi aje awape furaha ya uwanjani hata ikibidi kwa kununua mechi.
Hivyo Mpira wetu ulibaki chini kwa tabia hii mbovu ya kupenda matokeo ya leoleo ya uwanjani kutoka kwa wahindi.
Wafanyabiashara hawa walijali faida badala ya maendeleo ya soka. Walicheza kamali na matokeo ya mechi za Simba na Yanga hivyo walifanya kila kitu na kila mbinu ili kulazimisha matokeo uwanjani kitu kilichodumu hata leo.
Wanachama na mashabiki hawalipi hata michango yao wakitegemea mhindi kuendesha club yao. Akina mzee Akilimali na wenzake hadi leo huwaambii kitu kuhusu timu kujitegemea, wanatafuta mfadhiri wa kihindi aje awape furaha ya uwanjani hata ikibidi kwa kununua mechi.
Hivyo Mpira wetu ulibaki chini kwa tabia hii mbovu ya kupenda matokeo ya leoleo ya uwanjani kutoka kwa wahindi.