Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

+4
human
kichuya kona
Zombie
Mkweli daima
8 posters

    Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania

    Mkweli daima
    Mkweli daima
    Junior Member


    Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania Empty Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania

    Post by Mkweli daima Sun Apr 15, 2018 4:48 pm

    Klabu kubwa za Simba na Yanga ndizo ambazo zingekuwa chemchem ya soka letu Tanzania, bahati mbaya wanachama na wapenzi wa timu hizi waliwaachia wafanyabiashara wa kihindi kufanya biashara na kufaidika na timu hizi kwa mgongo wa ufadhili.

    Wafanyabiashara hawa walijali faida badala ya maendeleo ya soka. Walicheza kamali na matokeo ya mechi za Simba na Yanga hivyo walifanya kila kitu na kila mbinu ili kulazimisha matokeo uwanjani kitu kilichodumu hata leo.

    Wanachama na mashabiki hawalipi hata michango yao wakitegemea mhindi kuendesha club yao. Akina mzee Akilimali na wenzake hadi leo huwaambii kitu kuhusu timu kujitegemea, wanatafuta mfadhiri wa kihindi aje awape furaha ya uwanjani hata ikibidi kwa kununua mechi.

    Hivyo Mpira wetu ulibaki chini kwa tabia hii mbovu ya kupenda matokeo ya leoleo ya uwanjani kutoka kwa wahindi.
    Zombie
    Zombie
    Junior Member


    Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania Empty Re: Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania

    Post by Zombie Sun Apr 15, 2018 5:22 pm

    wahiteni na wabongo waje wawekeze basi
    kichuya kona
    kichuya kona
    Junior Member


    Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania Empty Re: Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania

    Post by kichuya kona Sun Apr 15, 2018 6:08 pm

    kipindi wahindi hawajaja mpira ulikua juu au chini?
    human
    human
    New Member
    New Member


    Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania Empty Re: Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania

    Post by human Sun Apr 15, 2018 8:16 pm

    wapeni umiliki wa 100%
    Roy
    Roy
    Founder


    Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania Empty Re: Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania

    Post by Roy Mon Apr 16, 2018 12:13 pm

    si kweli
    King
    King
    Junior Member


    Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania Empty Re: Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania

    Post by King Tue Apr 17, 2018 12:19 pm

    Zombie wrote:wahiteni na wabongo waje wawekeze basi
    Smile Smile Smile Smile Smile Smile
    Payet
    Payet
    Junior Member


    Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania Empty Re: Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania

    Post by Payet Thu Apr 19, 2018 1:54 pm

    mbona klabu zisizomilikiwa na wahindi ndio zinashika mikia kwenye ligi? Hoja yako haina uhalisia kaka
    keyboard
    keyboard
    New Member
    New Member


    Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania Empty Re: Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania

    Post by keyboard Thu Apr 19, 2018 5:09 pm

    kichuya kona wrote:kipindi wahindi hawajaja mpira ulikua juu au chini?

    hapo sasa

    Sponsored content


    Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania Empty Re: Wahindi wameua Mpira wetu Tanzania

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Thu Mar 28, 2024 3:18 pm