Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

    JOHN CENA ATENGANA NA NIKKI

    Nani
    Nani
    Junior Member


    JOHN CENA ATENGANA NA NIKKI Empty JOHN CENA ATENGANA NA NIKKI

    Post by Nani Wed Apr 18, 2018 10:23 am

    JOHN CENA ATENGANA NA NIKKI John-CenaNikki-Bella-300x169
    BINGWA wa mchezo wa mieleka wa WWE, John Cena, ametangaza kuachana na mpenzi wake wa muda mrefu, Nikki Bella, baada ya miaka sita ya uchumba wao.
    Wawili hao walikuwa pamoja tangu mwaka 2012 huku wakifanya mambo mbalimbali yaliyowatambulisha kama ‘Total Diva na Total Bellas’.
    Baada ya kufikia tamati wawili hao jana walitangaza rasmi kuwa wameachana. “Baada ya kufanya mambo mengi katika miaka sita tuliyoishi, Nikki Bella na John Cena, tumeamua kutengana.”
    Nyota hao walitoa taarifa hiyo wakidai kuwa licha ya kufanya uamuzi huo mgumu, bado wataendelea kufanya kazi pamoja kwa kuheshimiana.

      Current date/time is Fri Apr 19, 2024 3:51 pm