Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

+10
King
dembele
babu
kiboko yao
mimi na yanga
mikael
Jogoo
bakayoko chelsea
ramsey
Nani
14 posters

    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Nani
    Nani
    Junior Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by Nani Wed Apr 18, 2018 10:38 am

    Habari wanamichezo!
    Tangu kujiuzulu kwa Manji timu sauti ya mamlaka ya kiungozi imepotea!Huo ndo ukweli hata ukibisha. Tatizo la Mzee Sanga nikupenda madaraka ambayo pia hajui atayapataje,yupo yupo tu ,kifupi hajielewi.
    Kajaribu kuwajaza watendaji wa upande wake ,lakini nao ni tatizo yaani mizigo .Yanga chini ya Clement Sanga imekuwa yanga ya malalamiko, na kibaya zaidi tumeaminishwa kuwa timu haina pesa ,mpaka wengine tumechangia. Timu ina udhamini:
    Vodacom
    Maji ya Afya
    Yanga tv kupitia azam TV
    Sportpesa.
    Gate collection n.k.
    Cha ajabu mishahara inacheleweshwa ,wachezaji hawaambiwi sababu, kama kuna upungufu ni wa kiasi gani wanachama hatujui. Ni ngojera kila uchao.
    Mzee huyu ameshindwa hata kuitisha mkutano wa wanachama ili nafas hiyo izibwe,sasa katuwekea Katibu ambae anaetamani kuwa Kocha,very selfish, sasa amemleta msemaji ambae ameshindwa kuisemea brand ya timu yetu. Umaarufu wa timu unashuka ,si bora Jerry Muro pamoja na mapungufu kadhaa ila alisaidia kuimarisha brand ya club yetu.
    Ndugu Dismas ten ,hata huko alikotokea hakuwa jina lenye ushawishi,sijui ni ndugu wa Mzee Sanga.
    Nasikia eti Mzee wa saba anaitaka timu ,sawa. Asifikirie yanga nikama taifa stars ,watu watamfanyia vurugu kama Nchunga.
    Naskia umeitwa mkutano mwezi Mei, lengo ni kubadili Muundo wa wendeshaji, sambamba na hilo . Uongozi chini ya Sanga utupishe tujaribu akili mpya , hata huyo atakaenunua hisa namuonea huruma,Atapata hasara isiyo mithilika. Tunataka akili mpya .Na siendi uwanjani tena. Mpaka hata majinamizi yapishe.
    ramsey
    ramsey
    Junior Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by ramsey Wed Apr 18, 2018 10:40 am

    sawa ila nina wasiwas na wewe inawezekana wewe ni mikia sc
    bakayoko chelsea
    bakayoko chelsea
    New Member
    New Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by bakayoko chelsea Wed Apr 18, 2018 10:42 am

    Yanga imebaki jina Tangu malinzi atoke haijawai kuongoza ligi Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy
    Jogoo
    Jogoo
    New Member
    New Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by Jogoo Wed Apr 18, 2018 10:43 am

    Yanga tumeanza kushikana uchawi
    Jogoo
    Jogoo
    New Member
    New Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by Jogoo Wed Apr 18, 2018 10:44 am

    bakayoko chelsea wrote:Yanga imebaki jina Tangu malinzi atoke haijawai kuongoza ligi Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy
    msimu ujao ni kushuka daraja Laughing Laughing Laughing
    mikael
    mikael
    Junior Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by mikael Wed Apr 18, 2018 10:48 am

    kwani simba inamafanikio gani? inamaana nyie mnataka kila msimu timu ibebe kombe? kwani inashiriki peke ake? acheni unazi wa kishamba bwana
    mimi na yanga
    mimi na yanga
    New Member
    New Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by mimi na yanga Wed Apr 18, 2018 10:52 am

    wewe itakua umetumwa si bure!
    kiboko yao
    kiboko yao
    New Member
    New Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by kiboko yao Wed Apr 18, 2018 10:58 am

    Tangu kuondoka kwa Manji yanga inatapatapa Timu imepoteana hailewani, mishahara inalimbikizwa, Kocha Lwandamina mara ya mwisho alilipwa mshahara mwezi Decemba, 
    Hivi kwa hali kama hii unategemea timu ifanye vizuri?

    Mkwasa amekua muongo anaongopea wachezaji juu ya stahiki zao
    babu
    babu
    New Member
    New Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by babu Wed Apr 18, 2018 11:13 am

    huu sio wakati wa wanayanga kuanza kulaumiana Yanga iko nafasi ya pili lakini bado analaumiwa hivyo? hivi nyinyi mlitakaje kwa mfano?
    dembele
    dembele
    Junior Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by dembele Wed Apr 18, 2018 11:40 am

    hapo kwenye swala la msemaji wa klabu nakuunga mkono dismas hana mvuto wala kashkash zozote,
    pia mkwasa inabidi abadilike tamaa yake itaigharimu yanga
    King
    King
    Junior Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by King Thu Apr 19, 2018 1:12 pm

    Timu kuyumba kiuchumi ni kawaida sana Cha msingi ni kutulia kwanza mkianza kutibuana sasaivi si vyema tulia msimu uishe marekebisho ndo yafuate
    Payet
    Payet
    Junior Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by Payet Thu Apr 19, 2018 1:53 pm

    Hayo ni maoni yako
    Mtata
    Mtata
    New Member
    New Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by Mtata Thu Apr 19, 2018 2:42 pm

    Tangu lini shabiki wa simba akatoa ushauri yanga?
    Edga
    Edga
    New Member
    New Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by Edga Thu Apr 19, 2018 4:25 pm

    sawa
    tom
    tom
    New Member
    New Member


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by tom Fri Apr 20, 2018 1:40 am

    ramsey wrote:sawa ila nina wasiwas na wewe inawezekana wewe ni mikia sc

    Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing  hata mim nimehisi

    Sponsored content


    Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga. Empty Re: Yanga: Tatizo namba moja ni Clement Sanga.

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Fri Mar 29, 2024 11:26 am