Habari wanamichezo!
Tangu kujiuzulu kwa Manji timu sauti ya mamlaka ya kiungozi imepotea!Huo ndo ukweli hata ukibisha. Tatizo la Mzee Sanga nikupenda madaraka ambayo pia hajui atayapataje,yupo yupo tu ,kifupi hajielewi.
Kajaribu kuwajaza watendaji wa upande wake ,lakini nao ni tatizo yaani mizigo .Yanga chini ya Clement Sanga imekuwa yanga ya malalamiko, na kibaya zaidi tumeaminishwa kuwa timu haina pesa ,mpaka wengine tumechangia. Timu ina udhamini:
Vodacom
Maji ya Afya
Yanga tv kupitia azam TV
Sportpesa.
Gate collection n.k.
Cha ajabu mishahara inacheleweshwa ,wachezaji hawaambiwi sababu, kama kuna upungufu ni wa kiasi gani wanachama hatujui. Ni ngojera kila uchao.
Mzee huyu ameshindwa hata kuitisha mkutano wa wanachama ili nafas hiyo izibwe,sasa katuwekea Katibu ambae anaetamani kuwa Kocha,very selfish, sasa amemleta msemaji ambae ameshindwa kuisemea brand ya timu yetu. Umaarufu wa timu unashuka ,si bora Jerry Muro pamoja na mapungufu kadhaa ila alisaidia kuimarisha brand ya club yetu.
Ndugu Dismas ten ,hata huko alikotokea hakuwa jina lenye ushawishi,sijui ni ndugu wa Mzee Sanga.
Nasikia eti Mzee wa saba anaitaka timu ,sawa. Asifikirie yanga nikama taifa stars ,watu watamfanyia vurugu kama Nchunga.
Naskia umeitwa mkutano mwezi Mei, lengo ni kubadili Muundo wa wendeshaji, sambamba na hilo . Uongozi chini ya Sanga utupishe tujaribu akili mpya , hata huyo atakaenunua hisa namuonea huruma,Atapata hasara isiyo mithilika. Tunataka akili mpya .Na siendi uwanjani tena. Mpaka hata majinamizi yapishe.
Tangu kujiuzulu kwa Manji timu sauti ya mamlaka ya kiungozi imepotea!Huo ndo ukweli hata ukibisha. Tatizo la Mzee Sanga nikupenda madaraka ambayo pia hajui atayapataje,yupo yupo tu ,kifupi hajielewi.
Kajaribu kuwajaza watendaji wa upande wake ,lakini nao ni tatizo yaani mizigo .Yanga chini ya Clement Sanga imekuwa yanga ya malalamiko, na kibaya zaidi tumeaminishwa kuwa timu haina pesa ,mpaka wengine tumechangia. Timu ina udhamini:
Vodacom
Maji ya Afya
Yanga tv kupitia azam TV
Sportpesa.
Gate collection n.k.
Cha ajabu mishahara inacheleweshwa ,wachezaji hawaambiwi sababu, kama kuna upungufu ni wa kiasi gani wanachama hatujui. Ni ngojera kila uchao.
Mzee huyu ameshindwa hata kuitisha mkutano wa wanachama ili nafas hiyo izibwe,sasa katuwekea Katibu ambae anaetamani kuwa Kocha,very selfish, sasa amemleta msemaji ambae ameshindwa kuisemea brand ya timu yetu. Umaarufu wa timu unashuka ,si bora Jerry Muro pamoja na mapungufu kadhaa ila alisaidia kuimarisha brand ya club yetu.
Ndugu Dismas ten ,hata huko alikotokea hakuwa jina lenye ushawishi,sijui ni ndugu wa Mzee Sanga.
Nasikia eti Mzee wa saba anaitaka timu ,sawa. Asifikirie yanga nikama taifa stars ,watu watamfanyia vurugu kama Nchunga.
Naskia umeitwa mkutano mwezi Mei, lengo ni kubadili Muundo wa wendeshaji, sambamba na hilo . Uongozi chini ya Sanga utupishe tujaribu akili mpya , hata huyo atakaenunua hisa namuonea huruma,Atapata hasara isiyo mithilika. Tunataka akili mpya .Na siendi uwanjani tena. Mpaka hata majinamizi yapishe.