Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

5 posters

    Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania

    Soka Sport
    Soka Sport
    Robbot
    Robbot


    Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania Empty Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania

    Post by Soka Sport Thu Apr 19, 2018 11:16 am

    Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania MNRiJ7vl_400x400

    Afisa Habari wa timu ya soka ya Simba Haji S. Manara, amesema kwamba anaamini kuwa siku moja ndoto yake ya kuwa Rais wa Tanzania itakuja timia, kwani ndio tamanio lake la siku nyingi.

    Akizungumza kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kupitia ukurasa wa facebook wa East Africa Television, Haji Manara amesema yeye kama mwanasiasa upande wa pili, ndoto yake kubwa ni kuja kuwa Rais wa nchi baada ya kuzichanga.

    “Iko siku mungu akinipa majaliwa, nikazichanga karata zangu, nitakuja kuwa rais, ndiyo ndoto yangu, na ndio ndoto za wanasiasa wote duniani, unaona bunge lile!? kama kuna mwanasiasa ambaye hana ndoto ya kuwa Rais hawafiki watano, mwanasiasa yoyote ukishaingia, hizo ndio ndoto kuja kushika wadhifa wa juu, kama huna ndoto wewe hufai kuishi”, amesema Manara.

    Kauli hiyo ya Manara sio mara ya kwanza kusikika akiitamka, huku akisistiza kwamba kwa kuwa yeye ni mwanasiasa mzuri na mkweli, pia ni kada wa CCM, anaamini atakuja kushika wadhifa huo mkubwa kwenye nchi.
    P. Dybala
    P. Dybala
    New Member
    New Member


    Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania Empty Re: Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania

    Post by P. Dybala Thu Apr 19, 2018 12:29 pm

    Sawa kama anavigezo basi ni halali kuwa na ndoto hiyo
    King
    King
    Junior Member


    Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania Empty Re: Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania

    Post by King Thu Apr 19, 2018 1:09 pm

    P. Dybala wrote:Sawa kama anavigezo basi ni halali kuwa na ndoto hiyo
    Jamaa huwa anakosa vya kuongea huyo
    Hamiliton
    Hamiliton
    Junior Member


    Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania Empty Re: Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania

    Post by Hamiliton Thu Apr 19, 2018 1:38 pm

    anawaza mpira huku anawaza siasa huyu jamaa ni gani?
    Payet
    Payet
    Junior Member


    Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania Empty Re: Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania

    Post by Payet Thu Apr 19, 2018 1:53 pm

    Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania DSC04441

    Sponsored content


    Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania Empty Re: Manara afunguka anaamini ipo siku atakuja kuwa Rais wa Tanzania

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Fri Apr 19, 2024 5:52 pm