Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

+2
Virgin Jack
celine dion
6 posters

    Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo!

    celine dion
    celine dion
    Junior Member


    Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo! Empty Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo!

    Post by celine dion Thu Apr 19, 2018 11:52 am

    Mwanadada mwenye mvuto wa kuweza kumshawishi mtu kulipa mahari ya Tsh miln 500, na anayeongoza Tanzania nzima kwa sauti nzuri ya utangazaji redioni. Leo akihojiwa na mbea sugu Sudy Brown kwenye kipindi cha xxl muda wa saa 9:00 mchana wa tarehe 17/04/2018, amekanusha kuwa na mimba na amekanusha kuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Michael Lukindo.

    Diva the bawse lady wa Tz akiongea kwa jazba huku matusi ya nguvu akimporomoshea mtangazaji mwenzie Michael Lukindo akimwambia asimzoee kabisa, kwani amezoea tabia yake ya kusingizia kutoka kimapenzi na wadada kadhaa wa mujini alianza singizia kutoka na jokate na wengine, lakini yeye Diva ni mwisho wa reli atampeleka polisi na kumuonesha mfano!
    Virgin Jack
    Virgin Jack
    New Member
    New Member


    Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo! Empty Re: Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo!

    Post by Virgin Jack Thu Apr 19, 2018 5:02 pm

    Diva hajielewi
    keyboard
    keyboard
    New Member
    New Member


    Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo! Empty Re: Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo!

    Post by keyboard Thu Apr 19, 2018 5:09 pm

    Virgin Jack wrote:Diva hajielewi
    kwanini?
    wazza
    wazza
    Junior Member


    Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo! Empty Re: Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo!

    Post by wazza Thu Apr 19, 2018 5:18 pm

    Hivi huyu diva yeye anajionaga ni mzuri kiasi gani? mtu mwenyewe hata mvuto hana
    rosee
    rosee
    New Member
    New Member


    Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo! Empty Re: Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo!

    Post by rosee Fri Apr 20, 2018 12:35 am

    wazza wrote:Hivi huyu diva yeye anajionaga ni mzuri kiasi gani? mtu mwenyewe hata mvuto hana

    hahahahaha
    xavi
    xavi
    New Member
    New Member


    Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo! Empty Re: Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo!

    Post by xavi Fri Apr 20, 2018 1:37 am

    wazza wrote:Hivi huyu diva yeye anajionaga ni mzuri kiasi gani? mtu mwenyewe hata mvuto hana

    ameshawambia anataka milioni 500

    Sponsored content


    Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo! Empty Re: Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo!

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Fri Apr 19, 2024 1:57 pm