Mwanadada mwenye mvuto wa kuweza kumshawishi mtu kulipa mahari ya Tsh miln 500, na anayeongoza Tanzania nzima kwa sauti nzuri ya utangazaji redioni. Leo akihojiwa na mbea sugu Sudy Brown kwenye kipindi cha xxl muda wa saa 9:00 mchana wa tarehe 17/04/2018, amekanusha kuwa na mimba na amekanusha kuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Michael Lukindo.
Diva the bawse lady wa Tz akiongea kwa jazba huku matusi ya nguvu akimporomoshea mtangazaji mwenzie Michael Lukindo akimwambia asimzoee kabisa, kwani amezoea tabia yake ya kusingizia kutoka kimapenzi na wadada kadhaa wa mujini alianza singizia kutoka na jokate na wengine, lakini yeye Diva ni mwisho wa reli atampeleka polisi na kumuonesha mfano!
Diva the bawse lady wa Tz akiongea kwa jazba huku matusi ya nguvu akimporomoshea mtangazaji mwenzie Michael Lukindo akimwambia asimzoee kabisa, kwani amezoea tabia yake ya kusingizia kutoka kimapenzi na wadada kadhaa wa mujini alianza singizia kutoka na jokate na wengine, lakini yeye Diva ni mwisho wa reli atampeleka polisi na kumuonesha mfano!