Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

+5
dembele
Mtata
Hamiliton
Kun"
celine dion
9 posters

    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA.

    celine dion
    celine dion
    Junior Member


    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA. Empty WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA.

    Post by celine dion Thu Apr 19, 2018 12:14 pm

    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA. PIX-2-3-1024x831-696x565
    Kiongozi wa Msafara wa wachezaji waliyokwenda katika Mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Australia ambaye Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw.Yusuph Singo akizungumza na kwa waandishi wa habari (hawapo picha)kuhusu hali ya mashindano pamoja na suala la mchezaji mmoja kutoroka kambini  mara baada ya kuwasili nchini leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wa Jijini Dar es Salaam.
    Bondia Selemani Kidunda (wa kwanza) akiwasilini leo jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere akitokea nchini Australia ambapo alikwenda kwa ajili ya Mashindano ya Jumuiya ya Madola  nyuma yake ni Bondia mwenzie Haruna Swanga.
    Mwanariadha wakike Bi.Sara Ramadhani akiwa amewasili nchini katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo akitokea nchini Australia ambapo alikwenda katika Mashindano ya Jumuiya ya Madola na ameshika nafasi ya tisa katika mbio za Kilometa 42.
    Kapteni wa Timu ya wachezaji waliyokwenda nchini Australia katika Mashindano ya Jumuiya ya Madola Bw.Masoud Mtalaso (kulia) akirejesha bendera aliyokabidhiwa wakati wanakwenda katika mashindano kwa Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw.Alex Nkenyenge (kushoto) mara baada ya kurejea nchini leo jijini Dar es Salaam.
    Kun
    Kun"
    Junior Member


    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA. Empty Re: WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA.

    Post by Kun" Thu Apr 19, 2018 12:40 pm

    watalii hao hamna lolote kumaliza pesa tu, Ndio maana mwingine alitoroka kambini na mpaka sasa hajarejea
    Hamiliton
    Hamiliton
    Junior Member


    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA. Empty Re: WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA.

    Post by Hamiliton Thu Apr 19, 2018 1:45 pm

    kuna niliyemsikia anasema alishindwa kwasababu alipungukiwa maji! aisee watu ni wapuuzi sana
    Mtata
    Mtata
    New Member
    New Member


    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA. Empty Re: WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA.

    Post by Mtata Thu Apr 19, 2018 2:39 pm

    Hamiliton wrote:kuna niliyemsikia anasema alishindwa kwasababu alipungukiwa maji! aisee watu ni wapuuzi sana
    Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy
    dembele
    dembele
    Junior Member


    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA. Empty Re: WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA.

    Post by dembele Thu Apr 19, 2018 2:54 pm

    kaz kweli kweli
    Edga
    Edga
    New Member
    New Member


    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA. Empty Re: WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA.

    Post by Edga Thu Apr 19, 2018 4:25 pm

    Hongera zao kwa kuizuru Australia
    Zizzou
    Zizzou
    New Member
    New Member


    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA. Empty Re: WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA.

    Post by Zizzou Thu Apr 19, 2018 4:35 pm

    Hamiliton wrote:kuna niliyemsikia anasema alishindwa kwasababu alipungukiwa maji! aisee watu ni wapuuzi sana

    Very Happy Very Happy Very Happy je kama ni kweli aliishiwa maji?
    wazza
    wazza
    Junior Member


    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA. Empty Re: WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA.

    Post by wazza Thu Apr 19, 2018 5:19 pm

    Kun\" wrote:watalii hao hamna lolote kumaliza pesa tu, Ndio maana mwingine alitoroka kambini na mpaka sasa hajarejea
    Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy Ameona bongo bahati mbaya akakamata Fursa
    tom
    tom
    New Member
    New Member


    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA. Empty Re: WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA.

    Post by tom Fri Apr 20, 2018 1:42 am

    Tanzania hatujulikani mchezo tunaouweza

    Sponsored content


    WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA. Empty Re: WAWAKILISHI JUMUIYA YA MADOLA WAREJEA.

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Fri Apr 19, 2024 4:07 pm