Nimejikuta najiuliza hivi ni kwanini uongozi wa TFF wanampiga vita wambura kiasi cha kwamba wamempiga vita kujihusisha na maswala ya mpira mpka wakamfungia.
Kitu ambacho cha kushangaza kama wambura ni mtuhumiwa ni kwanini asipelekwe mahakamani wanabaki kumfungiaaa.
Mnaofahamu zaidi hebu tuambieni kwanini TFF wanampinga sana wambura
Kitu ambacho cha kushangaza kama wambura ni mtuhumiwa ni kwanini asipelekwe mahakamani wanabaki kumfungiaaa.
Mnaofahamu zaidi hebu tuambieni kwanini TFF wanampinga sana wambura