Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

3 posters

    WAKATI WANAPAMBANA NA SIMBA, WACHEZAJI MTIBWA SUGAR WAIBIWA VITU HOTELI

    Chuga
    Chuga
    New Member
    New Member


    WAKATI WANAPAMBANA NA SIMBA, WACHEZAJI MTIBWA SUGAR WAIBIWA VITU HOTELI Empty WAKATI WANAPAMBANA NA SIMBA, WACHEZAJI MTIBWA SUGAR WAIBIWA VITU HOTELI

    Post by Chuga Wed Apr 11, 2018 5:02 am

    Wakati wachezaji wa Mtibwa Sugar wakiwa uwanjani wakipambana na Simba, vibaka ambao wanaaminika ni wafanyakazi wa hoteli waliyokuwa wamefikia mjini Morogoro, walikuwa wakifanya kazi yao ya wizi.

    Wachezaji wa Mtibwa Sugar wameibiwa vifaa vyao mbalimbali na tayari uongozi wao umethibitisha ukisema kipa Shabani Kado aliyekuwa katika benchi siku hiyo Mtibwa ikilala 1-0, ndiye ameathirika zaidi.

    Msemaji wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amesema wanaamini baadhi ya wafanyakazi wa hoteli hiyo ndiyo wamecheza mchezo huo mchafu.

    “Kwa kweli ni jambo baya sana, Kado ndiyo kaibiwa vitu vya zaidi ya shilindi laki tatu. Tayari tumefungua kasi kituo cha polisi na wametupa ushirikiano mkubwa sana.

    “Juhudi za kuwasaka wahalifu zimefanyika na baadhi wameishakamatwa na uchunguzi unaendelea,” alisema Kifaru.

    “Tuligundua kuna matatizo baada ya kurejea hotelini tukitokea uwanjani katika mechi ya Simba. Baada ya hapo tukagundua pia hakukuwa kumevunjwa, maana yake walifungua na ufunguo na kuiba katika vyumba mbalimbali.

    “Mfano kuna simu, ipad, kompyuta na vitu vingine vya gharama. Ni jambo baya sana hili,” alisisitiza Kifaru akizungumza na SALEHJEMBE.
    celine dion
    celine dion
    Junior Member


    WAKATI WANAPAMBANA NA SIMBA, WACHEZAJI MTIBWA SUGAR WAIBIWA VITU HOTELI Empty Re: WAKATI WANAPAMBANA NA SIMBA, WACHEZAJI MTIBWA SUGAR WAIBIWA VITU HOTELI

    Post by celine dion Sun Apr 15, 2018 6:02 pm

    Wink Wink Wink
    rosee
    rosee
    New Member
    New Member


    WAKATI WANAPAMBANA NA SIMBA, WACHEZAJI MTIBWA SUGAR WAIBIWA VITU HOTELI Empty Re: WAKATI WANAPAMBANA NA SIMBA, WACHEZAJI MTIBWA SUGAR WAIBIWA VITU HOTELI

    Post by rosee Fri Apr 20, 2018 1:29 am

    hakua ulinzi?

    Sponsored content


    WAKATI WANAPAMBANA NA SIMBA, WACHEZAJI MTIBWA SUGAR WAIBIWA VITU HOTELI Empty Re: WAKATI WANAPAMBANA NA SIMBA, WACHEZAJI MTIBWA SUGAR WAIBIWA VITU HOTELI

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Fri Apr 19, 2024 6:59 am