Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

+9
Roy
dUMA
ramsey
Jogoo
moyo
mikael
Naija
Kun"
P. Dybala
13 posters

    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Poll

    Je refaree alikua sahihi kuweka?

    [ 15 ]
    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Bar_left79%Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Bar_right [79%] 
    [ 4 ]
    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Bar_left21%Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Bar_right [21%] 

    Total Votes: 19
    Back
    P. Dybala
    P. Dybala
    New Member
    New Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by P. Dybala Thu Apr 12, 2018 12:26 pm

    Tazama video hii kisha weka kura yako je alikua sahihi?
    Kun
    Kun"
    Junior Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Kun" Thu Apr 12, 2018 12:28 pm

    Ndo maana hawa marefa wa england Mara nyingi hawachezeshi mechi kubwa,,mf.worldcup ..
    Anonymous
    Shabiki nguli
    Guest


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Shabiki nguli Thu Apr 12, 2018 12:33 pm

    Naanza kusema dhuluma ina mwisho wake,,,penalty ilikuwa halali lakini mda ulioongezwa haukuendana na kilichotokea,,,,Baada ya dk za nyongeza kumalizika refa aliendelea kuchezesha na wakati huo juve wao walikuwa wamejipanga kwa ajili ya dk 30 kumbe wenzao walishaongea na refa wajitahidi kufika tu kwenye boksi yeye atatoa penalty na red card ili hata penalty ikiokolewa bado wawe na hasara ya golikipa wao na upungufu wa mchezaji pia,,,,Dhuluma ina mwisho wake wote tupo kulishuhudia hili!!!!!
    Naija
    Naija
    New Member
    New Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Naija Thu Apr 12, 2018 12:35 pm

    Wacha technologia iongezeke okiwezekana mpira uchezeshe na mitambo maana sio kwa upumbavu huu. Naamini haki inapatikana nibora halali kuliko radha.

    Huyu mpumbavu anazidi kuidhihirishia dunia kua uingerza Hakuna marefa wenye viwango vyadunia kwa taaluma yao shukrani FIFA mliliona hilo mapema na tunaomba hata UEFA msimu ujao waacheni tu.

    Naija
    Naija
    New Member
    New Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Naija Thu Apr 12, 2018 12:35 pm

    Kun\" wrote:Ndo maana hawa marefa wa england Mara nyingi hawachezeshi mechi kubwa,,mf.worldcup ..
    kweli
    Anonymous
    jei
    Guest


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by jei Thu Apr 12, 2018 12:37 pm

    Jaman acheni ushabiki refa hajakosea na yuko sahihi kabisa yule alikuwa mtu wa mwisho lazima iwe hivyo
    mikael
    mikael
    Junior Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by mikael Thu Apr 12, 2018 12:40 pm

    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  30624610

    Halafu wanatokea mashabiki hewa waliojaaaa wivu na chuki na kusema eti sio penalti,ile ni penalti sahihi kabisa na refa yuko sahihi,yaani mlitaka Lucas Vasquez wangu avunjwe mguu ndio msema Penalti,mashabiki hewa kweli hamna bahati yaani kila timu mtakayohamia mfalme Cristiano Ronaldo anawalizaaaaa na atawanyoosha hadi muhamie Real Madrid,
    moyo
    moyo
    New Member
    New Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by moyo Thu Apr 12, 2018 12:47 pm

    Ajabu juve anatolewa wanalalamika bace
    Jogoo
    Jogoo
    New Member
    New Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Jogoo Thu Apr 12, 2018 1:12 pm

    Ilikuwa dhahiri penalti, sijui refa angefanyaje wakati mguu kutoka nyuma umetimba hadi kifuani
    Anonymous
    lembe
    Guest


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by lembe Thu Apr 12, 2018 1:35 pm

    real madrid hawez kutwaa UEFA hata angepewa mbeleko ya chuma
    Roy
    Roy
    Founder


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Roy Thu Apr 12, 2018 5:20 pm

    yuko sahihi
    ramsey
    ramsey
    Junior Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by ramsey Thu Apr 12, 2018 5:42 pm

    ishu sio penalt ishu ni mda ambao penat ilipatkana kusema ukweli madrid walipewa mbeleko
    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  30624510
    dUMA
    dUMA
    Junior Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by dUMA Thu Apr 12, 2018 8:25 pm

    ramsey wrote:ishu sio penalt ishu ni mda ambao penat ilipatkana kusema ukweli madrid walipewa mbeleko
     na ndioo machampion watarajiwa
    Roy
    Roy
    Founder


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Roy Thu Apr 12, 2018 8:54 pm

    moyo wrote:Ajabu juve anatolewa wanalalamika bace
    Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing
    Anonymous
    sembe
    Guest


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by sembe Fri Apr 13, 2018 3:30 pm

    ni bonge la penat kabisa bila uibishi wa aina yoyote  ile
    CR7
    CR7
    Junior Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by CR7 Fri Apr 13, 2018 4:05 pm

    penat hiyo fans wa barcelona acheni majungu
    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  30623919_189193298556684_8548538361466322944_n
    Payet
    Payet
    Junior Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Payet Fri Apr 13, 2018 8:25 pm

    hiyo ni penalt sema refaree alizingua kwenye muda
    Mtata
    Mtata
    New Member
    New Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Mtata Fri Apr 13, 2018 8:50 pm

    NI PENALT HALALI
    Anonymous
    Damasi Kenubo
    Guest


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Damasi Kenubo Fri Apr 13, 2018 9:06 pm

    Pongezi kwa wadau wote mlioamua kuanzisha jukwaa hili la wanamichezo nimesikia kwamba ni wadau wa mwanza kutoka chama cha washabiki wa Arsenali mwanza Mungu wabariki sana
    Anonymous
    Damasi Kenubo
    Guest


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Damasi Kenubo Fri Apr 13, 2018 9:06 pm

    Pongezi kwa wadau wote mlioamua kuanzisha jukwaa hili la wanamichezo nimesikia kwamba ni wadau wa mwanza kutoka chama cha washabiki wa Arsenali mwanza Mungu wabariki sana
    Mkweli daima
    Mkweli daima
    Junior Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Mkweli daima Fri Apr 13, 2018 9:10 pm

    Damasi Kenubo wrote:Pongezi kwa wadau wote mlioamua kuanzisha jukwaa hili la wanamichezo nimesikia kwamba ni wadau wa mwanza kutoka chama cha washabiki wa Arsenali mwanza Mungu wabariki sana

    kweli bob wamefanya la maana sana
    Mkweli daima
    Mkweli daima
    Junior Member


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Mkweli daima Sun Apr 15, 2018 4:35 pm

    kiuhalisia ile ilikua ni penalt tuweke ushabiki pembeni
    labda cha kulalamikiwa ni muda tu aliotumia mwamuzi

    Sponsored content


    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?  Empty Re: Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Fri Apr 19, 2024 5:25 pm