Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

+4
celine dion
Zombie
babu
Nani
8 posters

    Buyern yamchapa mtu sita uganini

    Nani
    Nani
    Junior Member


    Buyern yamchapa mtu sita uganini Empty Buyern yamchapa mtu sita uganini

    Post by Nani Wed Apr 18, 2018 10:32 am

    Buyern yamchapa mtu sita uganini 38091-large

    Bayern Munich imezidi kuonesha ubabe kwenye Kombe la Ujerumani baada ya kuitandika vilivyo Bayer Leverkusen kwa jumla ya mabao 6-2 ikiwa ugenini.

    Kichapo hicho kimewapata Leverkusen wakiwa kwao katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa Uwanja wa BayArena usiku wa Jumanne.

    Mkongwe Thomas Muller aliingia kambani mara tatu huku Alcantara na Lewandowsk wakipiga bao moja kwa kila mmoja.
    babu
    babu
    New Member
    New Member


    Buyern yamchapa mtu sita uganini Empty Re: Buyern yamchapa mtu sita uganini

    Post by babu Wed Apr 18, 2018 11:17 am

    salamu kwa Zidane
    Zombie
    Zombie
    Junior Member


    Buyern yamchapa mtu sita uganini Empty Re: Buyern yamchapa mtu sita uganini

    Post by Zombie Thu Apr 19, 2018 11:34 am

    babu wrote:salamu kwa Zidane
    madreid ajiandae kisaikolojia
    celine dion
    celine dion
    Junior Member


    Buyern yamchapa mtu sita uganini Empty Re: Buyern yamchapa mtu sita uganini

    Post by celine dion Thu Apr 19, 2018 12:16 pm

    madreid ndo nani?
    King
    King
    Junior Member


    Buyern yamchapa mtu sita uganini Empty Re: Buyern yamchapa mtu sita uganini

    Post by King Thu Apr 19, 2018 1:14 pm

    celine dion wrote:madreid ndo nani?
    Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy  hata mimi nimeshangaa
    Hamiliton
    Hamiliton
    Junior Member


    Buyern yamchapa mtu sita uganini Empty Re: Buyern yamchapa mtu sita uganini

    Post by Hamiliton Thu Apr 19, 2018 1:36 pm

    FC BAYERN CHAMPIONS 2017/2018
    Tecno
    Tecno
    New Member
    New Member


    Buyern yamchapa mtu sita uganini Empty Re: Buyern yamchapa mtu sita uganini

    Post by Tecno Thu Apr 19, 2018 3:56 pm

    hongera kwao
    xavi
    xavi
    New Member
    New Member


    Buyern yamchapa mtu sita uganini Empty Re: Buyern yamchapa mtu sita uganini

    Post by xavi Fri Apr 20, 2018 1:36 am

    Hamiliton wrote:FC BAYERN CHAMPIONS 2017/2018

    champio wa nini/

    Sponsored content


    Buyern yamchapa mtu sita uganini Empty Re: Buyern yamchapa mtu sita uganini

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Sat May 11, 2024 12:58 pm