Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

    Simba wafanya mazoezi Morogoro Leo kwa maandalizi dhidi ya Lipuli

    Soka Sport
    Soka Sport
    Robbot
    Robbot


    Simba wafanya mazoezi Morogoro Leo kwa maandalizi dhidi ya Lipuli Empty Simba wafanya mazoezi Morogoro Leo kwa maandalizi dhidi ya Lipuli

    Post by Soka Sport Thu Apr 19, 2018 11:22 am

    Simba wafanya mazoezi Morogoro Leo kwa maandalizi dhidi ya Lipuli SIMBAMBAMBA

    Kikosi cha Simba kinafanya mazoezi yake leo kikiwa mjini Morogoro kwenye Uwanja wa Jamhuri ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea mchezo wake wa ligi dhidi ya Lipuli FC.

    Simba imeweka kambi maalum ya muda mfupi mjini Morogoro kabla ya kuondoka kesho Ijumaa kuelekea Iringa kukipiga na Lipuli.

    Wekundu hao wa Msimbazi waliwasili jana majira ya saa 7 mjini Morogoro ili kuanza kujinoa kwa ajili ya safari ya kuwania ubingwa uliokosekana kwa takribani misimu mitano.

    Kikosi hicho kinahitaji jumla ya alama 14 pekee ili kutangazwa kuwa mabingwa wa ligi msimu huu, na hivi sasa wapo mbele kwa jumla ya utofauti wa pointi 11 dhidi ya Yanga.

      Current date/time is Sun May 19, 2024 3:34 pm