Tanzania tumekuwa nyuma sana kimpira kwanzia ngazi ya vilabu mpaka timu ya Taifa, Tumezidiwa mpaka na majirani zetu wanaotuzunguka,
Mimi nafikiri kuna tatizo mahali flani ambalo linahitaji ufumbuzi,
sisi kama mashabiki tumejitahidi sana kuzipa support timu zetu lakini inafika mahala tunakatishwa tamaa kabisa hususa ni timu ya taifa imekuwa haifanyi vizuri kwa muda murefu sana,
Je, wewe kama mdau wa soka unatoa ushauri kipi kifanyike au turekebishe wapi ili tuweze kupiga hatua?
NAWASILISHA.