ndugu zangu wapenda mchezo wa draft kuna sheria inachanganya watu wengi sana katika mchezo huu. swali liko hivi.
je itakuaje endapo utafika king halafu mpinzani wako hana/hajala kete hata moja ya kukuvalisha hiyo king nawakati huo unataka kuitumia hiyo king?
Hii ni kwa wale waliobobea katika mchezo huu wa draft na hata kama sis mchezaji lakini sheria waweza kuzijua toad mchango wako, lengo nikueleweshana watu wazijue sheria ili kuondoa mabishano na mikanganyiko katika mchezo huu pendwa.
Pia waweza changia kwa kudondosha sheria zingine kwa lengo la kuelimishana zaidi.