Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

    Naiona Real Madrid ikibeba Uefa Champions League 2018

    mikael
    mikael
    Junior Member


    Naiona Real Madrid ikibeba Uefa Champions League 2018 Empty Naiona Real Madrid ikibeba Uefa Champions League 2018

    Post by mikael Wed Apr 11, 2018 9:45 am

    Baada ya Barca kupewa kipigo heavy cha 3-0 sasa anondoka rasmi mashindanoni kwa Roma kuwa na faida ya goli 1 walilopata mechi ya kwanza.

    Barcelona ni team hatari sana kwa Magiant wenzao wa Spain Real madrid na nina uhakika jiji la madrid kwa sasa ni furaha mno na hii itwapa morale Real madrid kufukuzia Zaidi huu ubingwa.

    Kwa team zilizobaki mashindanoni Liverpool, Roma na uwezekano wa Bayern na kwa aina ya mpira wa Real madrid nathubutu kusema hawa jamaa nawaona wakibeba ubingwa tena.

      Current date/time is Mon May 20, 2024 8:43 am