Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

+2
Roy
bakayoko chelsea
6 posters

    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    bakayoko chelsea
    bakayoko chelsea
    New Member
    New Member


    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu Empty UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Post by bakayoko chelsea Fri Apr 13, 2018 10:22 am

    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu Images?q=tbn:ANd9GcRcxBwf34ZukjxurR4gHDGQK-153urmpLLW3f4D9yx-jWNK4YY3

    Katika msimu wa 2003/2004 wa Uefa champions league hatua ya robo fainali, deportivo ilipigwa goli 4-1 katika mechi ya kwanza na timu iliyokuwa Moto wakati huo, Ac Milan ya Anceloti pale katika dimba la San Siro Italia. Katika mechi ya marudiano dimba la Riazor, Spain, Anceloti na Jeshi lake waliamini kwamba wana kazi ndogo sana ya kumalizia, kwani kwa hakika hakuna timu hata moja ambayo iliwahi kupindua matokeo ya aina ile katika michuano ya Uefa. Ilichukua dakika 5 tu baada ya kipenga, Walter Pandiani akampga chenga ya kumgeuza mtu mzima, Paolo Maldini, na kumimina mkwaju mkali ambao golikipa Dida hakuuona. Deportivo walizidi kupapasa soka balaa, ambapo kwa kifupi tu, hadi mapumziko walikuwa wakiongoza 3 bila, kipindi cha pili wakapga la 4, na kuitoa Milan kwa 5-4. Hadi mechi inaisha Anceloti hakuamini kilichokuwa kikitokea mbele ya macho yake, akaamini huenda anaota. Pamoja na kuwa na washambuaji walafi wa magoli kama Filipo Inzagi na Rui Costa, akajikuta akitupwa nje ya michuano hii.

    Vikosi vilikuwa hivi.
    Deportivo la Coruna.
    Jose Francisco Molina (GK), Manuel Pablo, Enrique Romero, Nourredine Naybet, Mauro Silva (C),Walter Pandiani,Sergio Gonzalez, Jorge Andrade, Sanchez Victor, Albert Luque na Juan Carlos Valeron.

    Ac Milan.
    Dida (GK),Cafu, Paolo Maldini (C),Andry Chevchenko,Genaro Gattuso, Alessandro Nesta, Joh Dahl Tomasson, Clarence Seedorf, Andrea Pirlo, Ricardo Kaka na Giussepe Pancaro.
    Anonymous
    ismail
    Guest


    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu Empty Re: UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Post by ismail Fri Apr 13, 2018 11:35 am

    hebu tueleze na maajabu waliyofanya majogoo wa anfield dhidi ya AC MILAN!
    Anonymous
    TUMAIN
    Guest


    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu Empty Re: UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Post by TUMAIN Fri Apr 13, 2018 11:39 am

    mbona Kawaida sana
    Roy
    Roy
    Founder


    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu Empty Re: UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Post by Roy Fri Apr 13, 2018 1:55 pm

    sawa ila mbona timu nyingi hufanya hayo maajabu
    CR7
    CR7
    Junior Member


    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu Empty Re: UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Post by CR7 Fri Apr 13, 2018 4:06 pm

    maajabu yako wapi hapo
    CR7
    CR7
    Junior Member


    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu Empty Re: UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Post by CR7 Fri Apr 13, 2018 4:06 pm

    maajabu yako wapi hapo
    Payet
    Payet
    Junior Member


    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu Empty Re: UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Post by Payet Fri Apr 13, 2018 8:29 pm

    ismail wrote:hebu tueleze na maajabu waliyofanya majogoo wa anfield dhidi ya AC MILAN!

    kweli bwana yale ndo yalikuaga maajabu ya soka
    lallana
    lallana
    New Member
    New Member


    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu Empty Re: UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Post by lallana Fri Apr 13, 2018 8:37 pm

    ismail wrote:hebu tueleze na maajabu waliyofanya majogoo wa anfield dhidi ya AC MILAN!

    yaa hakika yale ndo maajabu ya soka
    Mkweli daima
    Mkweli daima
    Junior Member


    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu Empty Re: UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Post by Mkweli daima Fri Apr 13, 2018 9:12 pm

    unataka kusemaje?

    Sponsored content


    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu Empty Re: UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Sat May 11, 2024 7:27 am