Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

2 posters

    IKITOKEA ANTHON JOSHUA Vs FROYD MONEY MYWETHR WAPO ULINGONI NANI ATANYANYASWA

    Juma Selemba
    Juma Selemba
    New Member
    New Member


    IKITOKEA ANTHON JOSHUA Vs FROYD MONEY MYWETHR WAPO ULINGONI NANI ATANYANYASWA Empty IKITOKEA ANTHON JOSHUA Vs FROYD MONEY MYWETHR WAPO ULINGONI NANI ATANYANYASWA

    Post by Juma Selemba Tue Apr 10, 2018 10:43 am

    Natumani ni wazima wa afya niko hapa kuona mawazo yenu juu ya ninachokiwaza kuhusu hawa wana masumbwi bora kabisa kwa sasa ulimwengu lakini katika uzito tofauti mmoja akiwa anashikiria record ya,kutopigwa katika uzitoo wa kati.

    Na mwingine akiwa na record ya kutopigwa katika uzito wa juu.

    Je ikitokea mmoja akakubali kuongeza kilo ili apigane na mwenzake au mmoja akakubali kupunguzi kilo ili apigane na mwenzake kwa mtazamo wako unahisi nani ataambulia kipigo na kuivunja record ya mwenzake?

    Naomba tutoe maoni kistaarabu nijenge nikujenge tujenge na tunjengane sio una view post yangu ili unitukane itakuwa sio issue
    MO SALAH
    MO SALAH
    New Member
    New Member


    IKITOKEA ANTHON JOSHUA Vs FROYD MONEY MYWETHR WAPO ULINGONI NANI ATANYANYASWA Empty Re: IKITOKEA ANTHON JOSHUA Vs FROYD MONEY MYWETHR WAPO ULINGONI NANI ATANYANYASWA

    Post by MO SALAH Tue Apr 10, 2018 11:08 am

    haiwezekani

      Current date/time is Wed May 08, 2024 10:26 pm