+12
Hamiliton
King
Kun"
celine dion
kichuya kona
Rashford
mikael
lallana
dUMA
Jogoo
moyo
Naija
16 posters
Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!
Naija- New Member
mahuja- Guest
wasanii wetu inabidi waigize uhalisia pia wae serious na kazi zao
moyo- New Member
hawa ndio wasanii wetu wanaopewa tuzo
Jogoo- New Member
Kitekinolojia tumeachwa mbali kwani sisi Bongo tunatumia Camcorder while wenzetu wa magharibi wanatumia mitambo mounted with sophisticated Camera.
Ukilinganisha hapo utaona bongo movie bado iko miaka ya 40 enzi za Yomba yomba
Ukilinganisha hapo utaona bongo movie bado iko miaka ya 40 enzi za Yomba yomba
dUMA- Junior Member
Jasmin- Guest
waende shule wakajifunze sanaa sio kudandia
dUMA- Junior Member
Teknolojia ikuzwe
dUMA- Junior Member
tofautisha teknolojia wanayotumia wenzetu na sisi
lallana- New Member
waache kujihusisha na siasa hicho ndicho chanzo cha kudharauliwa na
mashabiki
mashabiki
mikael- Junior Member
bongo movie kamwe haitaendelea kama hawatakuwa serious,vile vile waache umimi
mtu ndo director, hyohyo sterling hyohyo editor
mtu ndo director, hyohyo sterling hyohyo editor
Rashford- Junior Member
bongo movie hawana ubunifu kabisa tumeisha wachoka,
halafu wanapenda usupastaa wa kijinga sana na kuendekeza mambo yasiyo na maadili
halafu wanapenda usupastaa wa kijinga sana na kuendekeza mambo yasiyo na maadili
kichuya kona- Junior Member
yapi hayo?Rashford wrote:bongo movie hawana ubunifu kabisa tumeisha wachoka,
halafu wanapenda usupastaa wa kijinga sana na kuendekeza mambo yasiyo na maadili
celine dion- Junior Member
kuwa msanii maarufu Bongo, ni kuwa Kahaba na mhuni
Kun"- Junior Member
na huo ndio ukweli wenzetu unakuta karibia waigizaji wote ni wasomi but huku kwetu ni zoa zoa tuJasmin wrote:waende shule wakajifunze sanaa sio kudandia
King- Junior Member
Bongo movie ilijifia baada ya ujio wa Korean Dramas
Hamiliton- Junior Member
Si nilisikia mkuu wa mkoa amepiga marufuku uingizwaji wa hizo Drama iliishia wapi?King wrote:Bongo movie ilijifia baada ya ujio wa Korean Dramas
Virgin Jack- New Member
Actors/actresses wamejikita zaidi kwenye ngono wakati matatizo yapo mengi nje na ndani ya nchi hadi wateja wa movie zahesabika e.g. mafuriko, vyeti feki utekaji, rushwa n.k
keyboard- New Member
Tanzania, Kanumba ndiye aliyekuwa msanii wa kwanza nchini kufanya kazi nje ya nchi na kuweza kuwavuta wageni kutoka nchi mbalimbali kuja kuigiza Tanzania. Hasa walikuwa Wanigeria kama vile Mercy Johnson, Emmanuel France, Nkiru Silvanus, Ramsey Nouah, na wengine wengi tu. Kanumba pia ameweza kuwaleta waongozaji filamu kadhaa was Kinigeria nchini
Kanumba alikua anajielewa pia alikua hana skendo za ovyo
lakini wasanii wengi wa sasda wanafikiri skendo ndo kutoka kumbe wanajishushia credit
pia wameonekana hawana kabisa nia ya ushindani maana tumewambia mara nyingi sana lakini hawataki kubadilika
Kanumba alikua anajielewa pia alikua hana skendo za ovyo
lakini wasanii wengi wa sasda wanafikiri skendo ndo kutoka kumbe wanajishushia credit
pia wameonekana hawana kabisa nia ya ushindani maana tumewambia mara nyingi sana lakini hawataki kubadilika
wazza- Junior Member
Bongo movie imegeuka kikundi cha CCM acha wawe wanasiasa Tu movie zimeshawashinda
rosee- New Member
Virgin Jack wrote:Actors/actresses wamejikita zaidi kwenye ngono wakati matatizo yapo mengi nje na ndani ya nchi hadi wateja wa movie zahesabika e.g. mafuriko, vyeti feki utekaji, rushwa n.k
ni kweli kila movie sku hizi ni mapenzi na ni bora hata zile za vichekesho
Sponsored content