Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

+12
Hamiliton
King
Kun"
celine dion
kichuya kona
Rashford
mikael
lallana
dUMA
Jogoo
moyo
Naija
16 posters

    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Naija
    Naija
    New Member
    New Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by Naija Wed Apr 11, 2018 10:33 am

    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Downlo14
    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Downlo13
    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Downlo15

    wadau kama tunavyoelewa baada ya kutoka kwa msanii nguli Steven Kanumba sasahivi bongo movie imepoteza dira na watu wamekata tamaa kabisa wakidai movies za kitanzania hazina uhalisia wala mvuto,

    Je nini kifanyike ili kurudisha heshima ya Bongo movie iweze kutamba kimataifa kama ilivyo Nollywood?
    Anonymous
    mahuja
    Guest


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by mahuja Thu Apr 12, 2018 11:47 am

    wasanii wetu inabidi waigize uhalisia pia wae serious na kazi zao
    moyo
    moyo
    New Member
    New Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by moyo Thu Apr 12, 2018 1:00 pm

    hawa ndio wasanii wetu wanaopewa tuzo
    Jogoo
    Jogoo
    New Member
    New Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by Jogoo Thu Apr 12, 2018 1:12 pm

    Kitekinolojia tumeachwa mbali kwani sisi Bongo tunatumia Camcorder while wenzetu wa magharibi wanatumia mitambo mounted with sophisticated Camera.
    Ukilinganisha hapo utaona bongo movie bado iko miaka ya 40 enzi za Yomba yomba
    dUMA
    dUMA
    Junior Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by dUMA Thu Apr 12, 2018 8:34 pm

    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Kanumba
    Anonymous
    Jasmin
    Guest


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by Jasmin Thu Apr 12, 2018 8:57 pm

    waende shule wakajifunze sanaa sio kudandia
    dUMA
    dUMA
    Junior Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by dUMA Fri Apr 13, 2018 12:33 pm

    Teknolojia ikuzwe
    dUMA
    dUMA
    Junior Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by dUMA Fri Apr 13, 2018 12:39 pm

    tofautisha teknolojia wanayotumia wenzetu na sisi
    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! 531959_520322611394634_1934138162_n
    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Rags-bts-7
    lallana
    lallana
    New Member
    New Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by lallana Fri Apr 13, 2018 8:40 pm

    waache kujihusisha na siasa hicho ndicho chanzo cha kudharauliwa na 
    mashabiki
    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! IMGS1789

    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! _MG_0867
    mikael
    mikael
    Junior Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by mikael Sat Apr 14, 2018 4:33 pm

    bongo movie kamwe haitaendelea kama hawatakuwa serious,vile vile waache umimi
    mtu ndo director, hyohyo sterling hyohyo editor
    Rashford
    Rashford
    Junior Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by Rashford Sun Apr 15, 2018 5:41 pm

    bongo movie hawana ubunifu kabisa tumeisha wachoka,
    halafu wanapenda usupastaa wa kijinga sana na kuendekeza mambo yasiyo na maadili
    kichuya kona
    kichuya kona
    Junior Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by kichuya kona Sun Apr 15, 2018 6:10 pm

    Rashford wrote:bongo movie hawana ubunifu kabisa tumeisha wachoka,
    halafu wanapenda usupastaa wa kijinga sana na kuendekeza mambo yasiyo na maadili
    yapi hayo?
    celine dion
    celine dion
    Junior Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by celine dion Thu Apr 19, 2018 12:16 pm

    kuwa msanii maarufu Bongo, ni kuwa Kahaba na mhuni
    Kun
    Kun"
    Junior Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by Kun" Thu Apr 19, 2018 12:44 pm

    Jasmin wrote:waende shule wakajifunze sanaa sio kudandia
    na huo ndio ukweli wenzetu unakuta karibia waigizaji wote ni wasomi but huku kwetu ni zoa zoa tu
    King
    King
    Junior Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by King Thu Apr 19, 2018 1:15 pm

    Bongo movie ilijifia baada ya ujio wa Korean Dramas
    Hamiliton
    Hamiliton
    Junior Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by Hamiliton Thu Apr 19, 2018 1:41 pm

    King wrote:Bongo movie ilijifia baada ya ujio wa Korean Dramas
    Si nilisikia mkuu wa mkoa amepiga marufuku uingizwaji wa hizo Drama iliishia wapi?
    Virgin Jack
    Virgin Jack
    New Member
    New Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by Virgin Jack Thu Apr 19, 2018 4:56 pm

    Actors/actresses wamejikita zaidi kwenye ngono wakati matatizo yapo mengi nje na ndani ya nchi hadi wateja wa movie zahesabika e.g. mafuriko, vyeti feki utekaji, rushwa n.k
    keyboard
    keyboard
    New Member
    New Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by keyboard Thu Apr 19, 2018 5:08 pm

    Tanzania, Kanumba ndiye aliyekuwa msanii wa kwanza nchini kufanya kazi nje ya nchi na kuweza kuwavuta wageni kutoka nchi mbalimbali kuja kuigiza Tanzania. Hasa walikuwa Wanigeria kama vile Mercy Johnson, Emmanuel France, Nkiru Silvanus, Ramsey Nouah, na wengine wengi tu. Kanumba pia ameweza kuwaleta waongozaji filamu kadhaa was Kinigeria nchini
    Kanumba alikua anajielewa pia alikua hana skendo za ovyo 


    lakini wasanii wengi wa sasda wanafikiri skendo ndo kutoka kumbe wanajishushia credit
    pia wameonekana hawana kabisa nia ya ushindani maana tumewambia mara nyingi sana lakini hawataki kubadilika
    wazza
    wazza
    Junior Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by wazza Thu Apr 19, 2018 5:17 pm

    Bongo movie imegeuka kikundi cha CCM acha wawe wanasiasa Tu movie zimeshawashinda
    rosee
    rosee
    New Member
    New Member


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by rosee Fri Apr 20, 2018 1:31 am

    Virgin Jack wrote:Actors/actresses wamejikita zaidi kwenye ngono wakati matatizo yapo mengi nje na ndani ya nchi hadi wateja wa movie zahesabika e.g. mafuriko, vyeti feki utekaji, rushwa n.k

    ni kweli kila movie sku hizi ni mapenzi na ni bora hata zile za vichekesho

    Sponsored content


    Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa! Empty Re: Uzi maalumu wa kutoa maoni na mawazo nini kifanyike ili Bongo movie ifike kimataifa!

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Fri Apr 26, 2024 12:54 pm