Haya magari yanayopaki ndani ya viwanja vya mpira vp kama siku yakatumiwa na wahalifu kushambulia wachezaji??
Maana yanakua mita chache toka kwenye kiwanja..pia haipendezi kabisa hata kwenye urushaji wa matangazo ya mpira
TFF ipige marufuku magari kuingia ndani ya viwanja wakati wa mechi za mpira.
Maana yanakua mita chache toka kwenye kiwanja..pia haipendezi kabisa hata kwenye urushaji wa matangazo ya mpira
TFF ipige marufuku magari kuingia ndani ya viwanja wakati wa mechi za mpira.