Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

2 posters

    Baada ya Rashford kuwa kisu kikali Ronaldo aamua kumzawadia boot kali

    Nani
    Nani
    Junior Member


    Baada ya Rashford kuwa kisu kikali Ronaldo aamua kumzawadia boot kali Empty Baada ya Rashford kuwa kisu kikali Ronaldo aamua kumzawadia boot kali

    Post by Nani Tue Apr 10, 2018 11:41 pm

    Baada ya Rashford kuwa kisu kikali Ronaldo aamua kumzawadia boot kali 4AFEF30800000578-5596479-image-a-6_1523310759243
    MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Marcus Rashford ameonyesha zawadi ya kiatu chekundu cha Nike Air Max 97 CR7 alichopewa na nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo.

    Nyota wa zamani wa United, Ronaldo inawezekana hakuwa karibu na Rashford wakati wake anacheza Old Trafford kwani wakati huo Marcus alikuwa ana umri wa miaka 11 wakati Ronaldo alipokuwa anahamia Madrid – lakini wawili hao kwa sasa ni rafiki.

    Kwa ushirikiano na Nike, Mwanasoka huyo bora wa dunia, Ronaldo ametoa kiatu hicho kikali kinachouzwa kwa Pauni 145, ambacho kinaweza kuwavutia mashabiki wengi wa Man United kununua.
    ramsey
    ramsey
    Junior Member


    Baada ya Rashford kuwa kisu kikali Ronaldo aamua kumzawadia boot kali Empty Re: Baada ya Rashford kuwa kisu kikali Ronaldo aamua kumzawadia boot kali

    Post by ramsey Wed Apr 11, 2018 1:34 am

    manure mnajifariji sana rashford bado sana

      Current date/time is Fri May 17, 2024 2:01 pm