+5
CR7
Roy
Rahma
Mavugo R
MO SALAH
9 posters
Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?
MO SALAH- New Member
Selemani- Guest
Selemani- Guest
hahahahaha hii ndio tz buana
Mavugo R- New Member
Tanzania kuna kila aina ya ufisadi mimi kwa macho yangu nilishuhudia tukifanyiwa hujuma tulicheza kopa cocacola under 17 mwaka 2010 mkoani kagera, kitu kilichostaajabisha tulishangaa wanaletwa watu wakubwa kiumri na tunawajua kabisa ndio wakaenda ngazi ya kitaifa,
kusema ukweli TFF hujuma na rushwa zimejaaa TFF badilikeni mnaua soka la tanzania
kusema ukweli TFF hujuma na rushwa zimejaaa TFF badilikeni mnaua soka la tanzania
Rahma- New Member
Mavugo R wrote:Tanzania kuna kila aina ya ufisadi mimi kwa macho yangu nilishuhudia tukifanyiwa hujuma tulicheza kopa cocacola under 17 mwaka 2010 mkoani kagera, kitu kilichostaajabisha tulishangaa wanaletwa watu wakubwa kiumri na tunawajua kabisa ndio wakaenda ngazi ya kitaifa,
kusema ukweli TFF hujuma na rushwa zimejaaa TFF badilikeni mnaua soka la tanzania
pole
Roy- Founder
watanzania kila mahala wanapiga dili
CR7- Junior Member
bongo bahati mbaya karibu ulaya
Roy- Founder
Mbona ulaya wapo pia akina lukaku?CR7 wrote:bongo bahati mbaya karibu ulaya
mikael- Junior Member
itakua wamekomaa mifupa lakini kiumri ni wadogo kwakweli
Roy- Founder
mikael wrote:itakua wamekomaa mifupa lakini kiumri ni wadogo kwakweli
Payet- Junior Member
Mtata- New Member
inawezekana
lallana- New Member
Pole sanaMavugo R wrote:Tanzania kuna kila aina ya ufisadi mimi kwa macho yangu nilishuhudia tukifanyiwa hujuma tulicheza kopa cocacola under 17 mwaka 2010 mkoani kagera, kitu kilichostaajabisha tulishangaa wanaletwa watu wakubwa kiumri na tunawajua kabisa ndio wakaenda ngazi ya kitaifa,
kusema ukweli TFF hujuma na rushwa zimejaaa TFF badilikeni mnaua soka la tanzania
Sponsored content
» Jamani hebu tuwe wakweli, hivi Messi ana kipi cha kumzidi Ronaldo?!
» Peter Msechu asema hajawahi kuona Watu ' Wanafiki ' na ' Wabinafsi ' duniani kama Watanzania
» Uwoya achora Tattoo ya Dogo Janja, kweli amekiufa ameoza
» MZEE MAJUTO ANASEMA WEMA SEPETU AWEZI KUWA MKALI KUSHINDA RIHAMA JE NI KWELI?
» Peter Msechu asema hajawahi kuona Watu ' Wanafiki ' na ' Wabinafsi ' duniani kama Watanzania
» Uwoya achora Tattoo ya Dogo Janja, kweli amekiufa ameoza
» MZEE MAJUTO ANASEMA WEMA SEPETU AWEZI KUWA MKALI KUSHINDA RIHAMA JE NI KWELI?
|
|