Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

+5
CR7
Roy
Rahma
Mavugo R
MO SALAH
9 posters

    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    MO SALAH
    MO SALAH
    New Member
    New Member


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by MO SALAH Tue Apr 10, 2018 11:16 am

    Kuna Muda wa TZ Tuwe Na Hofu ya Mungu Jaman Hawa kwel n under 20...????
    au ndio kujuana kwenyewe fulani mtoto wa shangazi
    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Img-2012
    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Img-2010
    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Img-2011
    Anonymous
    Selemani
    Guest


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by Selemani Tue Apr 10, 2018 11:18 am

    affraid affraid affraid affraid affraid affraid affraid affraid affraid
    Anonymous
    Selemani
    Guest


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by Selemani Tue Apr 10, 2018 11:19 am

    hahahahaha hii ndio tz buana
    Mavugo R
    Mavugo R
    New Member
    New Member


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by Mavugo R Tue Apr 10, 2018 11:29 am

    Tanzania kuna kila aina ya ufisadi mimi kwa macho yangu nilishuhudia tukifanyiwa hujuma tulicheza kopa cocacola under 17 mwaka 2010 mkoani kagera, kitu kilichostaajabisha tulishangaa wanaletwa watu wakubwa kiumri na tunawajua kabisa ndio wakaenda ngazi ya kitaifa,
    kusema ukweli TFF hujuma na rushwa zimejaaa TFF badilikeni mnaua soka la tanzania
    Rahma
    Rahma
    New Member
    New Member


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by Rahma Tue Apr 10, 2018 12:13 pm

    Mavugo R wrote:Tanzania kuna kila aina ya ufisadi mimi kwa macho yangu nilishuhudia tukifanyiwa hujuma tulicheza kopa cocacola under 17 mwaka 2010 mkoani kagera, kitu kilichostaajabisha tulishangaa wanaletwa watu  wakubwa kiumri na tunawajua kabisa ndio wakaenda ngazi ya kitaifa,
    kusema ukweli TFF hujuma na rushwa zimejaaa TFF badilikeni mnaua soka la tanzania

    pole
    Roy
    Roy
    Founder


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by Roy Fri Apr 13, 2018 1:48 pm

    Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy Very Happy  watanzania kila mahala wanapiga dili
    CR7
    CR7
    Junior Member


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by CR7 Fri Apr 13, 2018 4:02 pm

    bongo bahati mbaya karibu ulaya
    Roy
    Roy
    Founder


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by Roy Fri Apr 13, 2018 4:44 pm

    CR7 wrote:bongo bahati mbaya karibu ulaya
    Exclamation Exclamation Exclamation Exclamation Exclamation Exclamation  Mbona ulaya wapo pia akina lukaku?
    mikael
    mikael
    Junior Member


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by mikael Fri Apr 13, 2018 6:53 pm

    itakua wamekomaa mifupa lakini kiumri ni wadogo kwakweli
    Roy
    Roy
    Founder


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by Roy Fri Apr 13, 2018 7:54 pm

    mikael wrote:itakua wamekomaa mifupa lakini kiumri ni wadogo kwakweli
    Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing Laughing
    Payet
    Payet
    Junior Member


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by Payet Fri Apr 13, 2018 8:31 pm

    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Romelu-Lukaku-641966
    Mtata
    Mtata
    New Member
    New Member


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by Mtata Fri Apr 13, 2018 8:47 pm

    inawezekana
    lallana
    lallana
    New Member
    New Member


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by lallana Tue Apr 17, 2018 1:59 pm

    Mavugo R wrote:Tanzania kuna kila aina ya ufisadi mimi kwa macho yangu nilishuhudia tukifanyiwa hujuma tulicheza kopa cocacola under 17 mwaka 2010 mkoani kagera, kitu kilichostaajabisha tulishangaa wanaletwa watu  wakubwa kiumri na tunawajua kabisa ndio wakaenda ngazi ya kitaifa,
    kusema ukweli TFF hujuma na rushwa zimejaaa TFF badilikeni mnaua soka la tanzania
    Smile Smile Smile Smile  Pole sana

    Sponsored content


    Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20? Empty Re: Watanzania tuwe na hofu ya Mungu; hawa kweli wana umri wa chini ya miaka 20?

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Mon May 20, 2024 2:55 am