Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

    Peter Msechu asema hajawahi kuona Watu ' Wanafiki ' na ' Wabinafsi ' duniani kama Watanzania

    shaaban robert
    shaaban robert
    New Member
    New Member


    Peter Msechu asema hajawahi kuona Watu ' Wanafiki ' na ' Wabinafsi ' duniani kama Watanzania Empty Peter Msechu asema hajawahi kuona Watu ' Wanafiki ' na ' Wabinafsi ' duniani kama Watanzania

    Post by shaaban robert Tue Apr 10, 2018 12:54 pm

    Akizungumza muda mfupi tu uliopita katika mahojiano na Kituo kimoja cha Television Msanii Peter Msechu amesema kwamba kama kuna kitu ambacho amejifunza kwa Watanzania basi ni tabia zao kubwa mbili ' pacha ' za Unafiki na Ubinafsi.

    Alitolea mfano hai kwamba kuna siku moja aliwahi ' Kuposti ' Mtandaoni kuwaomba Watanzania wapakue Nyimbo zake na wampigie Kura lakini cha Kushangaza ndani ya Siku tatu alipata ' mrejesho ' wa Watu wasiozidi 25 tu lakini Kesho yake ' akaposti ' kuwa ameachana na Mkewe Mama Lolo cha kushangaza ndani ya dakika 10 alipokea sms zaidi ya 3200 za Watu huku wengine hata hawajui na wakijifanya kumpa ushauri na kumpoza na akashangaa mno kwamba iweje alipowataka wampe ' sapoti ' katika Kazi yake hawakumpa ' ushirikiano ' ila kwa mambo ya ' Kimbea ' ndipo wengi walijotokeza?

    Nami nimuambie tu Peter Msechu kwamba nampa pole kubwa kwa kuchelewa Kwake kujua kwamba hakuna Watu ' Wanafiki ' na ' Wabinafsi ' duniani kama Watanzania na nadhani hicho ' Kipaji / Kipawa / Talanta ' pekee tuliyojaaliwa nayo Watanzania na kwakweli tunatendea haki kabisa.

      Current date/time is Tue May 21, 2024 1:04 am