wanamwita mbosso khan au mhindi wa kibiti... anaitwa mhindi au khan sababu ya hisia zake za kweli anapoimba akawii kumwaga machozi.
ndio msanii bora kabisa kwenye bongofleva zama hizi anayeweza kuimba live na kucheza na vyombo. kwa sasa ukizungumzia live hakunaga kama mbosso.
akiimba kwa pamoja namsikia marijani rajabu namskia issa matona namskia ali star namskia abdul misambano namskia franco makiadi.