Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

4 posters

    Old trafford sasa kubeba watu 90,000

    Jogoo
    Jogoo
    New Member
    New Member


    Old trafford sasa kubeba watu 90,000 Empty Old trafford sasa kubeba watu 90,000

    Post by Jogoo Thu Apr 12, 2018 4:15 pm

    Mkurugenzi Mkuu wa Manchester United, Richard Arnold, amesema klabu hiyo inaweza kukosa kuutumia uwanja wao huo.

    Mkurugenzi huyo akiongea na South China Morning Post, amesema wataweza kuukosa uwanja huo kwa muda kutokana na kuufanyia upanuzi ambao utkuwa na uwezo wa kuchukua watu 90,000.

    Bosi huyo ameongeza pia jengo ambalo lenye nafasi ya kufanyiwa upanuzi huo ni jukwaa la Sir Bobby Charlton.

    Hata hivyo Richard hajaweka wazi ni muda gani ambao ujenzi huo utaanza. Kwa sasa uwanja huo unauwezo wa kuchukua watazamaji 76,000.
    Payet
    Payet
    Junior Member


    Old trafford sasa kubeba watu 90,000 Empty Re: Old trafford sasa kubeba watu 90,000

    Post by Payet Fri Apr 13, 2018 8:30 pm

    hongera zao
    Payet
    Payet
    Junior Member


    Old trafford sasa kubeba watu 90,000 Empty Re: Old trafford sasa kubeba watu 90,000

    Post by Payet Fri Apr 13, 2018 8:30 pm

    hongera zao
    lallana
    lallana
    New Member
    New Member


    Old trafford sasa kubeba watu 90,000 Empty Re: Old trafford sasa kubeba watu 90,000

    Post by lallana Fri Apr 13, 2018 8:35 pm

    sawa
    babu
    babu
    New Member
    New Member


    Old trafford sasa kubeba watu 90,000 Empty Re: Old trafford sasa kubeba watu 90,000

    Post by babu Fri Apr 13, 2018 8:44 pm

    sawa

    Sponsored content


    Old trafford sasa kubeba watu 90,000 Empty Re: Old trafford sasa kubeba watu 90,000

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Sat May 11, 2024 2:41 pm