Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

2 posters

    Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop sasa anafanya mambo ya kipuuzi

    ramsey
    ramsey
    Junior Member


    Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop sasa anafanya mambo ya kipuuzi Empty Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop sasa anafanya mambo ya kipuuzi

    Post by ramsey Mon Apr 09, 2018 4:31 pm

    Msanii Niki mbishi kutoka tamaduni music ameacha hiphop na
    Sasa anafanya bongo flava , Niki huwa anachukuliwa kama mmoja ya wasanii wakali kabisa wa Hip Hop barani Afrika lakini unfortunately amesaliti harakati na kuanza kuimba mambo ya kipuuzi ambapo inaaminika Msanii akiimba vitu vya kipuuzi ndo anapata mafanikio
    Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop sasa anafanya mambo ya kipuuzi Fb_img10
    Anonymous
    FADHILI
    Guest


    Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop sasa anafanya mambo ya kipuuzi Empty Re: Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop sasa anafanya mambo ya kipuuzi

    Post by FADHILI Mon Apr 09, 2018 4:34 pm

    Muziki ni pesa sasa wewe kama haoni faida lazima abadilkishe game, kwa hapa Tanzania mashabiki wengi hupenda miziki ya kijinga ya akina Ney wa mitego but miziki serious watu hawaithamini sana
    dembele
    dembele
    Junior Member


    Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop sasa anafanya mambo ya kipuuzi Empty Re: Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop sasa anafanya mambo ya kipuuzi

    Post by dembele Tue Apr 10, 2018 12:10 pm

    FADHILI wrote:Muziki ni pesa sasa wewe kama haoni faida lazima abadilkishe game, kwa hapa Tanzania mashabiki wengi hupenda miziki ya kijinga ya akina Ney wa mitego but miziki serious watu hawaithamini sana

    muziki wa kijinga ni upi? je unaelewa maana ya fasihi?

    Sponsored content


    Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop sasa anafanya mambo ya kipuuzi Empty Re: Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop sasa anafanya mambo ya kipuuzi

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Fri Apr 26, 2024 12:35 pm