Msanii Niki mbishi kutoka tamaduni music ameacha hiphop na
Sasa anafanya bongo flava , Niki huwa anachukuliwa kama mmoja ya wasanii wakali kabisa wa Hip Hop barani Afrika lakini unfortunately amesaliti harakati na kuanza kuimba mambo ya kipuuzi ambapo inaaminika Msanii akiimba vitu vya kipuuzi ndo anapata mafanikio
Sasa anafanya bongo flava , Niki huwa anachukuliwa kama mmoja ya wasanii wakali kabisa wa Hip Hop barani Afrika lakini unfortunately amesaliti harakati na kuanza kuimba mambo ya kipuuzi ambapo inaaminika Msanii akiimba vitu vya kipuuzi ndo anapata mafanikio