Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Join the forum, it's quick and easy

Soka Sports

je, bado hujawa member?

ni rahisi kuwa mwanajukwaa wa sokasports click register kutengeneza account yako.
itakuchukua sekunde 30 tu.

Soka Sports

Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Soka Sports

Jukwaa La Wanamichezo Tanzania www.sokasports.forumotion.com

FIFA WORLD CUP CHAMPONS 2018 FRANCE .

4 posters

    Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa

    Jogoo
    Jogoo
    New Member
    New Member


    Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa Empty Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa

    Post by Jogoo Thu Apr 12, 2018 1:14 pm

    BAADA ya kufanikiwa kuwafunga Mtibwa Sugar, kiungo mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya ameweka wazi kuwa kwa sasa hakuna timu itakayowazuia kuchukua ubingwa wa msimu huu kwa kuwa mechi hiyo haikuwa ya kawaida.

    Simba imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa katika mchezo uliopigwa juzi Jumatatu kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Ushindi huo umepelekea Simba kuende­lea kuongoza ligi kwa pointi 52, nyuma ya Yanga yenye pointi 46.

    Akizungumza na Championi Jumatano, Kichuya alisema kuwa kwa sasa haoni timu ambayo inaweza kuwazuia kuchukua ubingwa baada ya kufanikiwa kuifunga Mtibwa.

    “Binafsi kwangu ni jambo la furaha kufanikiwa kushinda dhidi ya Mtibwa kwa sababu hii mechi haikuwa rahisi kwetu na tulikuwa tunahitaji matokeo mazuri ili kufikia malengo.

    “Kiukweli Mtibwa wamecheza vizuri na mchezo ulikuwa mgu­mu lakini kwa matokeo haya sioni timu ambayo itaweza kutuzua kuchukua ubingwa wa msimu kwa sababu tunapam­bana bila ya kuangalia nyuma anakuja nani,” alisema Kichuya.
    dUMA
    dUMA
    Junior Member


    Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa Empty Re: Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa

    Post by dUMA Fri Apr 13, 2018 12:41 pm

    sawa
    CR7
    CR7
    Junior Member


    Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa Empty Re: Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa

    Post by CR7 Fri Apr 13, 2018 3:57 pm

    hilo halina ubishi
    CR7
    CR7
    Junior Member


    Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa Empty Re: Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa

    Post by CR7 Fri Apr 13, 2018 4:00 pm

    ni sahihi
    xavi
    xavi
    New Member
    New Member


    Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa Empty Re: Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa

    Post by xavi Fri Apr 20, 2018 1:36 am

    Simba hata hivyo wanaukame sana ni halali yao watambe kwa maneno

    Sponsored content


    Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa Empty Re: Kichuya aweka wazi hakuna timu itakayowazuia kuchukua Ubingwa

    Post by Sponsored content


      Current date/time is Sat Apr 27, 2024 6:20 am